AFYA (1) HABARI (2) UCHUMI (2)

Jumatatu, 12 Septemba 2016

SWALA MAALUMU YA IDDI NA WAZIRI MKUU

 WAZIRI MKUU KASIMU MAJALIWA AONGOZA SWALA MAALUMU YA IDDI KATIKA VIWANJA VYA MWEMBE YANGA TANDIKA.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na waumini wengine wa dini ya Kiislam wakisikiliza mawaidha wakati wa swala ya Idd El Hajj katika Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke, Jijini Dar es Salaam.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni